• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais Uhuru Kenyatta amepeperusha bendera ya usafirishaji wa mafuta ghafi

    (GMT+08:00) 2019-08-26 19:44:41
    Rais Uhuru Kenyatta amepeperusha bendera ya usafirishaji wa mafuta ghafi na onyo dhidi ya rushwa ambayo inaweza kunyima watu nafasi ya kufaidika na rasilimali hiyo.

    Mafuta ghafi yatasafirishwa na kampuni ya serikali ya China inayomilikiwa na ChemChina ambayo ilishinda zabuni ya kununua mafuta ya Kenya mapema mwezi huu.

    Serikali mnamo Agosti 1 ilitangaza kwamba mafuta yaliyozalishwa Turkana na yatauzwa kwa Sh bilioni 1.2 bilioni sawa dola million 12 milioni.

    Akiongea wakati wa amepeperushji wa bendera, Rais Uhuru amesema nchi na washirika wake itaendelea kufuata maliasili lakini bila kuathiri kizazi kijacho.

    Amesema rasilimali zaidi zitaelekezwa katika kuboresha miundombinu ambayo itarahisisha usafirishaji wa mafuta kutoka mashambani kwenda bandarini.

    Serikali itahakikisha jamii za wenyeji zinanufaika na mafuta.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako