• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • UNICEF yasema watoto milioni 19 nchini Nigeria hawajasajiliwa

    (GMT+08:00) 2019-08-27 08:44:13

    Idadi ya watoto wasiosajiliwa walipozaliwa nchini Nigeria imefikia milioni 19. Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limesema hiyo inatokana na mfumo dhaifu wa usajili wa uzazi, ikiwa ni pamoja na mpango mbaya, ukosefu wa uwezo wa kuanzisha takwimu husika za afya ya umma na makadirio na mpango wa idadi ya watu kote nchini. UNICEF imesema watoto wasiosajiliwa wanatoka familia zenye hali duni ya kiuchumi, kielimu na katika sehemu za vijijini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako