• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Askari 25 wauawa katika shambulizi la kundi la Houthi kaskazini mwa Yemen

    (GMT+08:00) 2019-08-28 08:42:06

    Askari 25 wa jeshi la serikali ya Yemen wanaoungwa mkono na Saudia wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kundi la Houthi lililofanyika katika mkoa wa Saada, kaskazini mwa nchi hiyo.

    Afisa wa kijeshi amesema, kundi la Houthi limevamia vituo kadhaa vya kijeshi katika eneo la Kataf, mashariki mwa mkoa wa Saada na kuwakamata askari kadhaa.

    Gavana wa mkoa wa Saada Bw. Hadi Tarshan amethibitisha kwamba, mapambano yameendelea kwa siku tatu mfululizo katika eneo hilo. Amesema vikosi vya serikali vimepeleka askari zaidi ili kusaidia wanajeshi katika mapambano hayo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako