• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Shirika kuu la Utangazaji la China lafanya hafla ya uzinduzi wa "Mradi wa chapa zinazostawashi taifa"

    (GMT+08:00) 2019-08-28 20:15:42

    Shirika kuu la Utangazaji la China na makampuni maarufu ya China leo wamefanya hafla ya uzinduzi wa "Mradi wa chapa zinazostawisha taifa".

    Mradi huo ni hatua muhimu katika kuhimiza makampuni mazuri ya China yawe na uwezo wa kushiriki kwenye mawasiliano ya uchumi na utamaduni wa dunia kwa niaba ya China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako