Katibu mkuu wa kamati ya michuano hiyo Celestin Nzeyimana amethibitisha kujitoa kwa Nigeria, na kueleza kuwa, sababu kubwa ni ukosefu wa fedha ndio umechangia.
Michuano hiyo inayotajiwa kufanyika jijini Kigali Rwanda, ambapo Rwanda wanakuwa wenyeji wa michuano hiyo kwa mara ya tatu sasa. Michuano hiyo itatoa timu zitakazowakilisha bara la Afrika katika mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika mwakani nchini Japan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |