• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • WAVU: Nigeria yajitoa michuano ya ubingwa wa Afrika ya wenye ulemavu

    (GMT+08:00) 2019-08-29 08:49:12

    Timu ya taifa ya mchezo wa wavu ya wenye ulemavu ya Nigeria imejitoa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika mchezo wa wavu kwa wachezaji wenye ulemavu.

    Katibu mkuu wa kamati ya michuano hiyo Celestin Nzeyimana amethibitisha kujitoa kwa Nigeria, na kueleza kuwa, sababu kubwa ni ukosefu wa fedha ndio umechangia.

    Michuano hiyo inayotajiwa kufanyika jijini Kigali Rwanda, ambapo Rwanda wanakuwa wenyeji wa michuano hiyo kwa mara ya tatu sasa. Michuano hiyo itatoa timu zitakazowakilisha bara la Afrika katika mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika mwakani nchini Japan.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako