Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu ICRC limesema, wafungwa takriban 130 wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya gereza la mkoani Dhamar, Yemen.
Kwenye taarifa yake kundi la Houthi limesema , wafungwa waliouawa ni askari wa serikali ya Yemen ambao walikamatwa kwenye mapambano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |