Wizara ya usalama wa ndani na ulinzi wa raia nchini Mali imetangaza kuwa jengo lenye ghorofa 3 lililoko huko Bamako lilianguka jana na kusababisha vifo vya watu wasiopungua 15 na wengine 41 wameokolewa. Uchunguzi dhidi ya mlimiki wa jengo hilo umeanzishwa.
Jengo hilo lililokuwa likijengwa lilianguka saa 10 alfajiri kwa saa za huko, na operesheni ya uokoaji inaendelea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |