Kwa kuzingatia ukuaji wa mahitaji ya data, Ethio Telecom itatoa uwezo wa mtandao wa 4G huko Addis Ababa na mikoa mingine, na kuboresha ya mtandao na uwezo.
Kampuni inatarajia kuongeza jumla ya wanachama kwa asilimia 16 hadi milioni 50.46 kwa mwaka hadi Julai 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |