Akiongea kwenye hafla ya ufunguzi wa mkutano wa sita wa utafiti wa COMESA unaofanyika kila mwaka huko Nairobi Bw. Kipyego amesema uvumbuzi unaleta faida za kiteknolojia na linganishi ambazo zinahimiza biashara.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Ushirika wa Kenya Bw. Chris Kiptoo amesema kuwa kanda iliyofungamana zaidi itaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini katika mashariki na kusini mwa Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |