Dullah Mbabe alilianza pambano kwa kasi na kumpelekea makonde mfululizo Zulipikaer, bondia namba moja China ambaye ndiye aliyekuwa anashikilia mkanda huo, kabla ya kumkalisha chini raundi ya tatu.
Promota wa Dullah Mbabe, Jay Msangi amesema maandalizi kabambe yanaandaliwa nchini Tanzania kumpokea bondia huyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |