Wakitumia gari aina ya Mitsubishi Evo X, walimaliza mbio hizo za magari kwa kutumia saa 01:12:53 wakifuatiwa na Alwi Hassan akiwa na dereva mwenzake Siraj Kyambadde wakikamata nafasi ya pili kwa kutumia gari aina ya Subaru N14, walitumia saa 01:13:24 huku nafasi ya tatu ikinyakuliwa na madereva Yasin Nasser akishirikiana na Ali Kitumba waliokuwa na Subaru GVB na walimaliza kwa kutumia saa 01:13:34.
Wakizungumza mara baada ya kushinda, Blick alisema, shindano lilikuwa gumu kutokana na madereva wote kuwa na uzoefu na walimhofia zaidi Alwi Hassan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |