Akizungumza na waandishi wa habari jana, Ndariragije amesema kwa sasa yupo kazini na malengo yake ni kupata ushindi.
Tanzania iko nchini Burundi tayari kwa mchezo wake wa kwanza utakaopigwa kesho Jumatano kwenye uwanja wa Prince Louis Rwagasore jijini Bujumbura na marudiano yatakuwa Septemba 8 jijini Dar es Salaam.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |