Tukio limetokea mara baada ya wachezaji wa Manchester United Paul Pogba na Marcus Rashford pamoja na mshambuliaji wa Chelsea Tammy Abraham kutolewa lugha za kibaguzi kwenye mitandao ya kijamii.
Klabu ambayo mashabiki wake walitoa kauli ya kibaguzi imetoa tamko la kukemea tabia hiyo na kusema kuwa wanamuunga mkono Lukaku na kudai kuahidi kupiga marufuku na kumchukulia hatua kali yeyote atakayehamasisha tabia hiyo ya ubaguzi kwa sababu ni kinyume kabisa na miiko ya klabu yao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |