• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais Xi Jiping awataka maofisa kufanya kazi kwa bidii ili kuleta nguvu ya taifa

    (GMT+08:00) 2019-09-03 19:30:07

    Rais Xi Jiping wa China ametoa wito kwa maofisa hasa maofisa vijana kupitia mafunzo makali ya itikadi, kisiasa na kivitendo na kufanya juhudi ili kufikia malengo mawili ya Miaka 100 na Ndoto ya Wachina ya kuleta nguvu ya taifa.

    Xi, ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kijeshi, amesema hayo katika sherehe ya ufunguzi wa mpango wa mafunzo kwa maofisa vijana na wa makamo Katika Chuo cha Utawala cha Taifa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako