Kenya inapanga kuandaa mkutano 12 wa mawaziri ya mambo ya wanawake wa Jumuiya ya Madola baadaye mwezi huu.
Kwa mujibu wa taarifa ya waandaaji, mkutano huo wa siku mbili utaanza Septemba 19 mjini Nairobi na kuwaleta pamoja mawaziri wa mambo ya jinsia na wanawake kufanya mapitio na kutathmini maendeleo yaliyofikiwa kuelekea vipaumbele vinne vya Jumuiya ya Madola juu ya usawa wa kijinsia, malengo matano ya maendeleo endelevu na majukumu mengine yanayohusiana na taifa na kanda hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |