Waswahili husema "Mtoto hatumwi dukani" leo kutakuwa na mechi kali ya awali ya kufuzu kombe la dunia zitakazofanyika Qatar mwaka 2022, ambapo timu ya taifa ya Burundi watakapowakaribisha majirani zao Tanzania katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Prince Rwegasore jijini Bujumbura Burundi.
Mshindi wa mechi mbili baina ya timu hizo, atafuzu hatua ya makundi ya kuwania kufuzu fainali hizo za kombe la Dunia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |