Ethiopia imetangaza kuwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa Chikungunya imefikia elfu 20.
Taasisi ya Afya ya Umma ya Ethiopia EPHI imesema kwenye taarifa kwamba, ingawa Ethiopia imefanya kampeni kubwa ya kupuliza dawa ya kuua mbu wanaoleta maradhi ya Chikungunya katika kitovu cha ugonjwa huo huko Dire Dawa, lakini bado kuna waathirika wengi wa ugonjwa huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |