Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP limetoa ripoti likionesha kuwa, katika miaka 10 iliyopita, China imekuwa nchi kubwa zaidi ya uwekezaji katika sekta ya nishati endelevu duniani, na inashika nafasi ya kwanza kwa thamani ya uwekezaji wa dola za kimarekani bilioni 758 kuanzia mwaka 2010 hadi nusu ya kwanza ya mwaka 2019, ikifuatiwa na Marekani kwa dola za kimarekani bilioni 356, na Japan kwa dola za kimarekani bilioni 202. Thamani ya uwekezaji wa Ulaya katika sekta hiyo ni dola za kimarekani bilioni 698.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |