Kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe leo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.
Rais wa sasa wa Zimabawe Emmerson Mnangagwa ametangaza habari hiyo kwenye mtandao wa kijamii Tweet.
Habari zinasema Mugabe amepata matibabu nchini Singapore tangu mwezi Aprili.
Mugabe aliitawala Zimbabwe kwa karibu miongo miwili mpaka alipoondolewa madarakani mwaka 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |