• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Matokeo ya michezo ya kufuzu fainali ya Mataifa ya Ulaya 2020.

    (GMT+08:00) 2019-09-09 08:33:59

    Michezo mbalimbali ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Ulaya 2020 imechezwa mwishoni mwa wiki iliyopita, Ujerumani haitosahau kipigo cha mabao 4-2 wakiwa nyumbani kwao toka kwa Croatia.

    Matokeo mengine, Denmark na Georgia zimetoka suluhu ya bila kufungana, huku Uswisi imeishushia kipigo cha maana cha 4-0 Gibraltar, nayo Romania imeifunga 1-0 Malta, nayo Uhispania imetoa kichapo cha paka mwizi cha 4-0 kwa visiwa vya Faroe, Uswidi wao wametoka sare ya bila kufungana na Norway, na katika kundi J Finland wamezamishwa kwa goli 1-0 na Italia, huku Greece wakitoka sare ya 0-0 na Liechtenstein.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako