Aidha amesema itafungua nafasi nyingi za ajira kwa vijana wa Kenya.
Rais alitangaza kuwa mipango inaendelea kuanza ujenzi wa bomba la mafuta malighafi kutoka uwanja wa mafuta wa Turkana hadi bandari mpya.
Rais amesema miradi ya barabara katika mkoa huo, ni asio tu kuunganisha taifa pia kuvuti wawekezaji kwenye bandari mpya na mkoa.
serikali inatekeleza miradi ya maendeleo kote nchini na maendeleo yatasaidia nchi kujiondoa katika umaskini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |