• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA:  Matokeo ya mechi za kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (EURO 2020)

    (GMT+08:00) 2019-09-10 09:22:28
    Kabumbu za kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (EURO 2020) imeendelea jana katika viwanja tofauti barani Ulaya, Uholanzi imeichakaza Estonia 4-0, nayo Ujerumani ikiibuka kidedea kwa 2-0 dhid ya Ireland Kaskazini katika kundi C, Croatia wao wamelazimishwa sare ya 1-1 na Azerbaijan, nao Slovakia wakichomoka na ushindi mdogo wa 2-1 dhidi ya Hungary.

    Macedonia Kaskazini wao wameifunga Latvia 2-0, huku Poland na Austria zikishindwa kuonyeshana ubabe, Slovenia wameipiga Israel 3-2, katika kundi I, Russia wamewafunga Kazakhstan 1-0, Cyprus wakiivuruga San Mario 4-0, na Ubelgiji wakiwaonyesha kabumbu Scotland 4-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako