Man U ilikosa penalti mfululizo katika mechi dhidi ya Wolves na Crystal Palace mapema msimu huu baada ya Paul Pogba na Marcus Rashford kushindwa kufunga mikwaju ya penalty. Kutokana na kukosa huko, Solskjaer alilazimika kufafanua kuwa wawili hao wataamua wenyewe nani apige penalti msimu huu, hali ambayo Le Tissier anaona ni udhaifu mkubwa wa kiuongozi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |