• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania mauzo ya nje na uagizaji kuongezeka

    (GMT+08:00) 2019-09-10 19:51:11

    Kuongezeka kwa mauzo ya nje ya dhahabu, kahawa na pamba, na vile vile ungiaji wa watalii imepiga jeki thamani ya bidhaa na huduma za mauzo ya nje hadi dola milioni 8,594.5 mwishoni mwa mwaka uliomalizika Julai 2019, kutoka $ milioni 8,534.6 mwaka uliomalizika Julai 2018, kulingana na mapitio ya kiuchumi ya kila mwezi ya Benki Kuu ya Tanzania.

    Mapato ya kigeni kutoka kwa mauzo ya nje ya huduma ilifikia asilimia 46.2 ya mauzo ya nje, na imeongezeka hadi dola millioni 3,987.3 mwaka uliomalizika Julai 2019, kutoka dola milioni 3,898.5 hapo awali.

    Ukuaji huo ilitokana na usafiri, san sana kutoka kwa utalii, ambao iliongezeka kwa asilimia 3.6 hadi dola milioni 2,412 kama watalii waliofika.

    Uagizaji wa bidhaa na huduma pia umeongezeka hadi dola milioni 10,473.5 kutoka dola milioni 9,896.5 mwishoni mwa mwaka uliokamilika Julai 2018, na bili za uingizaji wa bidhaa kuongezeka kwa asilimia 9.4 hadi dola 8,446.6.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako