Mapato ya kigeni kutoka kwa mauzo ya nje ya huduma ilifikia asilimia 46.2 ya mauzo ya nje, na imeongezeka hadi dola millioni 3,987.3 mwaka uliomalizika Julai 2019, kutoka dola milioni 3,898.5 hapo awali.
Ukuaji huo ilitokana na usafiri, san sana kutoka kwa utalii, ambao iliongezeka kwa asilimia 3.6 hadi dola milioni 2,412 kama watalii waliofika.
Uagizaji wa bidhaa na huduma pia umeongezeka hadi dola milioni 10,473.5 kutoka dola milioni 9,896.5 mwishoni mwa mwaka uliokamilika Julai 2018, na bili za uingizaji wa bidhaa kuongezeka kwa asilimia 9.4 hadi dola 8,446.6.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |