Vijana hao wa kocha Dennis Mwanja, walitoka nyuma bila alama wakati wa mapumziko katika mechi hiyo na kuduwaza Impala inayofundishwa na kocha Oscar Osir na kumaliza msimu huu wa ligi hiyo ya raga kwa alama 116.
Timu ya Mwamba yenyewe imemaliza katika nafasi ya pili kwa kupata alama 92. Huku Homeboyz wao imekamata nafasi ya tatu kwa kufikisha alama 90.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |