The Leopards iliyoanza maandalizi Septemba 5 ikijiandaa na kwa mchezo wake dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya kati mchezo utakaopigwa mjini Bangui Septemba 22 ikiwa ni michuano ya kufuzu kombe la dunia yam waka 2022 itakayofanyika nchini Qatar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |