Majirani hao walikabana koo katika mechi safi ya kirafiki uwanjani Kasarani, ambayo Mganda Emmanuel Okwi alipeleka timu yake mapumzikoni ikiwa kifua mbele kabla ya Kenneth Muguna kusawazishia wenyeji katika kipindi cha pili.
Mashabiki wengi wanasema sare ni mwanzo mwema kwa Kimanzi, ingawa wamemtaka Stars kuimarika katika mechi zijazo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |