Beki huyo Mreno mwenye umri wa miaka 20 bado hajacheza mechi yoyote msimu huu na kocha wa mashetani hao wekundu Ole Gunner Solskjaer amesema mwezi uliopita kuwa mchezaji huyo yuko nje ya uwanja hadi baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa.
Dalot alitua Shanghai Agosti 29 na kutumia siku kumi pamoja na mabingwa hao wa soka wa China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |