Uuzaji nje kutoka Rwanda kwenda Burundi uliongezeka hadi dola milioni 5.2 katika robo ya kwanza ya mwaka huu kutoka dola milioni 1.1 milioni kwa kipindi kama hicho mwaka 2018.
Bidhaa kama vile saruji, vinywaji na vyakula bado hazijarejeshwa kwenye soko la Burundi.
Uagizaji kutoka Burundi hasa chakula ulipungua sana hadi chini ya dola milioni 1, na inawakilisha asilimia 0.8 tu ya jumla ya bidhaa kutoka ambazo Rwanda huagiza kutoka kanda ya Afrika Mashariki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |