Kampuni hiyo kubwa zaidi duniani kwenye biashara ya mtandaoni imesaidia kubadilisha bishara ya aina mpya na kucangia pakubwa uchumi wa China.
Jack Ma mwenye umri wa miaka 55 amesema atatumia fedha zake nyingi kwa mmiradi kama vile elimu na kusaidia wajasiriamali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |