Bart anaelekea Zambia ambako atakuwa mkurungezi mkuu baada ya kuondoka kwa mkuu wa sasa Philip van Dalsen, mwishoni mwa mwezi.
Ng'ambi amefanya kazi kwenye sekta ya mawasiliano ya simu kwa zaidi ya miaka 10.
Amekuwa akifanya kazi kama mkurungezi mkuu Airtel-Tigo nchini Ghana.
Ana Shahada ya Uzamili katika Sayansi ya Kompyuta kutoka Chuo Kikuu cha Joensuu, Ufini, na Shahada ya Sayansi katika Sayansi ya Kompyuta kutoka Chuo Kikuu cha Namibia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |