Samatta aliyefunga goli la kuongoza kwa Stars kabla ya Burundi kusawazisha kisha kwenda kwenye matuta, alipata majeraha ya goti ambayo yalimlazimu kaimu kocha wa taifa stars Suleman Matola ampumzishe na nafasi yake kuchukuliwa na Himid Mao. Mara baada ya kurejea Ubelgiji, klabu yake ya Genk imeamua kumfanyia uchunguzi zaidi licha ya yeye mwenyewe kuona hana maumivu makubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |