Kulingana na Waziri wa Miundombinu Claver Gatete,makubaliano ya anga baina ya nchi mbili (BASA) yanafungua nafasi kwa ajili ya njia za anga 92 mpya kwa shirika la ndege la RwandAir.
Sheria hiyo imefungua dirisha la ukuaji wa utalii na biashara ya usafiri wa anga.
Gatete alisema ni mikataba 32 tu iliyopitishwa,92 tayari imeshakamilishwa na itatiwa saini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |