Brown ambaye mwishoni mwa wikiendi alisajiliwa na mabingwa hao wa Super Bowl baada ya kuruhusiwa na Oakland Raiders, anatuhumiwa kumbaka mwalimu wake huyo mwenye umri wa miaka 28 katika matukio matatu tofauti yaliyotokea mwaka 2017 na 2018.
Klabu yake ya Patriots imesema, imepokea taarifa hizo na kusema inazichukua kwa uzito mkubwa na kuwa klabu hiyo hairuhusu mashambulisi ya kingono, hivyo wanasubiri mamlaka husika zikamilishe uchunguzi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |