Mchujo huo ulianzia uwanja wa Nyayo jijini Nairobi jana, huku Beatrice akikamilisha mizunguko 28 na kuruka maji mara 7 kwa 9:45:15 akifuatiwa kwa karibu na bingwa wa mwaka 2015 Hyvin Kiyeng aliyetumia 9:45:20.
Kenya inaruhusiwa kuingiza wanariadha wanne katika kitengo hicho kwasababu Chepkoech alishinda mashindano ya Diamond League.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |