Dijk mwenye umri wa miaka 28 amekuwa beki bora ndani ya Liverpool tangu atue akitokea Southampton kwa dau la pauni milioni 75 katika dirisha dogo la usajili wa januari 2018.
Hadi sasa amekamata tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya akiwagaragaza Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ikiwa ni baada ya kubeba ubingwa wa ligi ya mabingwa Ulaya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |