Mazungumzo baina ya PSG na Barcelona yalifanyika kwa muda mrefu kwa ajili ya kumsajili mchezaji huyo ambaye alionyesha nia ya wazi ya kutaka kutimka PSG .
Messi anasema kuwa, haioni kama Barca walifanya juhudi za kutosha kumerejesha japo mazungumzo hayakuwa rahisi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |