Wizara ya umwagiliaji ya Misri imesema, mazungumzo kati ya mawaziri wa umwagiliaji wa Misri, Ethiopia na Sudan juu ya ujazaji na uendeshaji wa Bwawa la GERD lililojengwa katika Mto Nile unaomilikiwa kwa pamoja na nchi hizo tatu, hayakupata maendeleo.
Taarifa hiyo imesema kuwa, kutokana na Ethiopia kukataa kujadili pendekezo lililotolewa na Misri kwa nchi nyingine mbili, mazungumzo hayo hayakuzungumzia masuala muhimu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |