• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Makundi ya CECAFA U-20 yatajwa

    (GMT+08:00) 2019-09-18 09:05:39

    Timu ya Tanzania kwa wachezaji wenye umri wa chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) imepangwa kundi B katika michuano ya Afrika Mashariki ya CECAFA mwaka huu yatakayofanyika Uganda yatakayoanza Septemba 21.

    Tanzania imepangwa na Kenya na Zanzibar, wakati kundi A kuna wenyeji Uganda, Sudan, Djibouti na Eritrea na kundi C kuna Burundi, Sudan Kusini na Somalia.

    Kwa mujibu wa ratiba, timu tatu za juu kutoka kundi A na B zitasonga mbele hatua ya robo fainali na kuungana na timu mbili kutoka kundi C.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako