Zambia na Umoja wa Afrika wamesaini makubaliano yanayoiruhusu Zambia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa mawaziri wa Afrika wanaoshughulikia usajili wa raia na takwimu muhimu ambao utafanyika kuanzia Oktoba 14 hadi 18.
Mjumbe wa kudumu wa Zambia kwenye Umoja wa Afrika Emanuel Mwamba amesema, usimamizi wa usajili wa raia ni sharti muhimu katika kutimiza kusafirisha bidhaa kwa uhuru na utoaji wa huduma barani Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |