• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya yapata uwekezaji wa $1.4bn katika miradi ya nishati safi

    (GMT+08:00) 2019-09-19 19:27:53
    Kenya ilivutia uwekezaji wa $1.4 bn (KSh145 billion) katika sekta ya nishati safi mwaka jana,huu ni uwekezaji wa tatu kwa ukubwa katika Mashariki ya kati na Afrika.

    Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhifadhi Mazingira (Unep) ambayo ilifuatilia mienendo ya nishati safi inaonyesha kuwa Kenya iliipiku Misri,UAE,Jordan na Rwanda ili kuungana na maeneo makuu sita ya nishati safi.

    Kenya ilishindwa na Afrika Kusini na Morocco ambazo zilivutia uwekezaji wa $4.1 bn (KSh426 billion) na $3.1 bn (KSh322 billion) mtawalia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako