• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waethiopia 12 wakamatwa kwa makosa ya kupanga mashambulizi ya kigaidi

    (GMT+08:00) 2019-09-23 09:49:10

    Idara ya Ujasusi na Usalama ya Ethiopia NISS imewakamata watu 12 wanaotuhumiwa kupanga mashambulizi ya kigaidi. Kwenye taarifa yake kwa vyombo vya habari, Idara hiyo imesema, watu hao wanatuhumiwa kuwa wanachama wa makundi ya kigaidi ya al-Shabab na IS, na kwamba kiongozi wa kundi la al-Shabab tawi la Ethiopia Mohammed Abdulahi Duilet alikuwa akitafuta maeneo ya kufanya mashambulizi mjini Addis Ababa wakati alipokamatwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako