Serikalihiyo imesema itaendesha zoezi hilo kwa wiki mbili ili kuwarejesha watalii 155,000 nyumbani, ambao walikuwa wamelipia tiketi za ndege kupitia kampuni hiyo.
Thomas Cook ilitangaza kufilisika Jumatatu, ikikumbwa na matatizo ya kifedha,
Kufilisika kwa kampuni hiyo kumewaacha zaidi ya watu 21,000 bila ajira.
Thomas Cook ilianzishwa mwaka 1841.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |