Taakwimu za mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya zinaonyesha kuwa upungufu huo ni mkubwa kuwahi kutokea ndani ya miaka 10.
Hata hivyo kampuni hiyo inasalia kuwa yenye wateja wengi zaidi ikiwa na milioni 31.8.
Kampuni ya Airtel nayo ilikuwa na ongezeko la wateja milioni 3.1 wakifikia kwa jumla milioni 12.8 na mgao wa soko wa asilimia 24.6.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |