Tamasha hilo limegawanywa katika sehemu nne: "Wasifu wa Bendera ya Taifa", "Tunasonga Mbele kwenye Njia Pana", "Kwenye Ardhi kubwa Yenye Matumaini", na "Kushika Usukani wa Zama Mpya", ambapo watu wanaimba huku wakicheza ngoma kwa furaha, na fashifashi za kupendeza zikirushwa angani.