Uzalishaji wa chai ya kimataifa mnamo 2018 ulikadiriwa kuwa kilo bilioni 5.85 kutoka kilo bilioni 5.81 mnamo 2017, ongezeko la asilimia 0.68 huku mchango wa Afrika ukisimama kwa kilo milioni 717.
Jumla ya mauzo ya nje yalikuwa kilo bilioni 1.8, huku Afrika ikichangia kilo milioni 654 kwa asilimia 35.
matumizi ya dunia yaliandikisha ongezeko la asilimia 2.4 kwa kilo bilioni 5.6 ikilinganishwa na kilo bilioni 5.4 mnamo 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |