Waziri wa Kilimo wa Zambia Michael Katambo amesema mpango uliosainiwa Lusaka kati ya serikali hizo mbili utafikia bidhaa zingine.
Bwana Katambo ameongeza kuwa makubaliano hayo yatashughulikia maswala yanayohusu vizuizi vya usafirishaji na kupata fedha za kigeni.
Kwa upande wake waziri wa Kongo wa biashara ya kitaifa na mauzo Jean Lucien Bussa amesema nchi hizo mbili zinaweza kukuza biashara kwa kutumia mipaka yao kubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |