Kufuatia mwaliko wa upande wa Marekani, naibu waziri mkuu wa China Bw. Liu He ataongoza ujumbe wa China ziarani mjini Washington kuhudhuria raundi mpya ya mazungumzo ya ngazi ya juu ya kiuchumi na kibiashara kati ya nchi hizo mbili kuanzia tarehe 10 hadi 11 mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |