Mshauri wa kiufundi wa shirika hilo Cornwell Muleya amesema sasa wathudumu katika miji ya Kinshasa, Asmara, Hergeisa, Lusaka, Harare, Johannesburg, Djibouti na Addis Ababa.
Shirika la ndege la Uganda lilisitisha oparesheni zake miaka 20 iliopita lakini kuanzisha upya mwezi Agosti baada ya kuanza kununua ndege mpya.
Kabla ya ndege mbili mpya lilikuwa linahudumu katika miji ya Nairobi, Mogadishu, Juba, Arusha, Dar es Salaam na Mombasa.
Muleya amesema kwa sasa shirika hilo bado linafadhiliwa na serikali lakini litaanza kuzalsiha faida hivi karibuni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |