Maafisa wa wizara ya petroli wamekuwa mjini London Uingereza kukamilisha mazungmzo mbele ya kusainiwa kwa makubaliano hayo.
Mwezi Juni Kenya pia ilisaini makubaliano na kamupni ya uchimbaji za Tullow, Total na Africa Oil, kuhusu taratibu za uwekezaji kwenye sekta hiyo.
Tayari Kenya imeuza sehemu ya mafuta yake ghafi, mapipa 250,000 kwenye soko la kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |